Mpanda FM

KILIMO

28 March 2024, 1:18 pm

Waliochomewa tumbaku Mpanda kutafutiwa ufumbuzi

“Katika uvamizi huo jumla ya majengo kumi ya kukaushia Tumbaku yamechomwa moto pamoja na stoo mbili pamoja na wananchi hao kuchukuliwa mali zao ikiwemo simu za mkononi pamoja na fedha.” Picha na Betord chove Na Bertod Chove-katavi Serikali wilayani Mpanda…

18 March 2024, 2:08 pm

Waliofyekewa mahindi Katavi washukuru mchango wa Mpanda Radio FM

“Wakulima hao walifyekewa mahindi baada ya kile kilichosemwa ni ukiukwaji wa sheria ya kulima mazao marefu kwa Manispaa ya Mpanda katika maeneo yaliyokatazwa, lakini yaliacha maswali baada ya kadhia hiyo kuwakumba wakulima watatu pekee huku maeneo mengine mazao yakiendelea kuachwa“…

19 November 2021, 11:52 am

Bustani Jiko Mkombozi wa Udumavu

Wananchi Mkoani Katavi wameaswa kujihusisha na kilimo cha Bustani Mkoba ili kuepukana na changamoto ya utapiamlo na udumavu unaosababishwa na ulaji usiofaa Hayo yameelezwa na Gastor Mwakilembe Afisa Kilimo Manispaa ya Mpanda ambae pia ni Mratibu wa mradi wa Bustani…

26 October 2021, 6:35 pm

Wakulima Mkoani Katavi Walia Bei ya Pembejeo

KATAVI Wakulima Mkoani  Katavi wameiomba serikali kuwapunguzia bei  ya  pembejeo za kilimo zikiwemo mbolea pamoja na mbegu. Wakizungumza na Mpanda radio FM wakulima hao  wamesema ili waweze kuendelea kulima kwa faida na kwa haraka wanapaswa kupata pembejeo kwa wakati na…