Mkoani FM

Elimu

28 November 2022, 7:50 am

Wahitimu kidato cha nne waaswa kujiendeleza kimasomo

WANAFUNZI waliomaliza mitihani ya kidato cha nne wametakiwa kujiwekea malengo ya kitaaluma maraa baada ya kumaliza elimu yoa ya lazima sambamba na kuwa na mashirikiano na wazazi wao ili kujanga jamii iliyo bora. Akizungmza na wazazi na wanafunzi katika ghafla…

3 February 2022, 10:52 am

Walimu watakiwa kuwa wabunifu kuongeza ufaulu.

Walimu wa skuli za msingi na sekondari wilaya ya Mkoani wametakiwa kuwa na ubunifu katika ufundishaji ili kuongeza ufaulu kawenye mitihani yao. Akizungumza mkuu wa wilaya ya mkoani Khatib Juma Mjaja katika kikao cha mikakati ya kujadili tathmini ya matokeo…

mwananchi akiiyomba serekali kutoa elimu ya corona

28 September 2021, 11:18 am

Wananchi Pemba waomba Elimu ya Uviko-19

Na Fatma Suleiman Wananchi kisiwani pemba wameiomba serikali kutoa elimu kuhusu korona wimbi la tatu, ili kuongeza uelewa  na kuzidisha tahadhari  ya kujikinga na maambukizi hayo kwa wanajamii Wakizungumza na habari hizi baadi ya wananchi hao, wameeleza kuwa awali ilipoingia korona…