utunzaji mazingira
24 March 2024, 7:04 pm
Chanzo cha maji kilichotunzwa na WWF kunufaisha wakazi 800 wa Buswahili Butiam…
Zaidi ya wananchi 800 katika kijiji cha Buswahili wilaya ya Butiama mkoani Mara wanufaika na chanzo cha maji cha Kyanyamatende kilichotunzwa na kuboreshwa na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi na Mazingira WWF Tanzania kwa ufadhiri wa USAID Na Dinnah Shambe…
13 March 2024, 5:48 pm
Wananchi watakiwa kupunguza mifugo kulinda mazingira
Mhadhiri wa Chuo cha Kilimo Sokoine SUA Dkt. Lalika amesema kuwa kutokana na uwepo wa mifugo mingi hususani katika eneo la Wegelo unaleta madhara katika bonde la mto Mara hasa uharibifu wa Mazingira. Na Catherine Msafiri Katika kutathimini mradi wa…
12 March 2024, 12:48 pm
WWF yabaini vyanzo 578 vya maji Mara
Shirika la WWF katika kutekeleza mpango kazi walioandaa kwa mwaka wa fedha 2024 kwa kuziunga mkono jumuiya za watumia maji mkoa wa Mara, wamebaini vyanzo vya maji zaidi ya 578 ambapo lengo la mradi ni kufikia watu 20,000. Na catherine…
12 March 2024, 11:31 am
WWF yatoa msaada wa mizinga ya nyuki kwa jumuiya ya watumiaji maji
Shirika la WWF limetoa msaada wa mizinga ya nyuki na miti ya kuotesha kwa jumuiya za watumia maji mkoa wa Mara katika kutunza mazingira ikiwa ni ndani ya mradi wa uhifadhi wa dakio la mto Mara unaosimamiwa na shirika hilo.…
12 March 2024, 11:06 am
WWF yakutana na wadau juu ya uhifadhi vyanzo vya maji
Shirika la WWF limekutana na wadau na viongozi wa watumia maji mkoa wa Mara na maafisa mazingira ili kutathimini yale waliofanya ndani ya miezi 6 ya mradi wa uhifadhi wa Dakio la mto Mara. Na catherine Msafiri Shirika la WWF…