Mazingira FM
Tanzia
15 March 2024, 4:54 pm
Aliyekuwa diwani wa Kisorya kuzikwa jumatatu kwa mujibu wa familia
Aliyekuwa diwani wa Kisorya kuzikwa jumatatu kwa mujibu wa familia familia yasema alikuwa haumwi yasubiri majibu ya uchunguzi. Na Adelinus Banenwa Mafuru Phinias Mafuru kijana wa marehemu ameiambia Mazingira Fm kuwa kama familia wamesikitishwa na tukio la kuondokewa na mzazi…
15 March 2024, 12:59 pm
Diwani wa kata ya Kisorya Bunda afariki dunia
Diwani wa kata ya Kisorya Halmashauri ya Wilaya ya Bunda [CCM] Mhe Amos Lufunjo Ndaro amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo, Na Adelinus Banenwa Diwani wa kata ya Kisorya Halmashauri ya Wilaya ya Bunda [CCM] Mhe Amos Lufunjo Ndaro amefariki…