Mazingira FM

Tanzia

15 March 2024, 12:59 pm

Diwani wa kata ya Kisorya Bunda afariki dunia

Diwani wa kata ya Kisorya Halmashauri ya Wilaya ya Bunda [CCM] Mhe Amos Lufunjo Ndaro amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo, Na Adelinus Banenwa Diwani wa kata ya Kisorya Halmashauri ya Wilaya ya Bunda [CCM] Mhe Amos Lufunjo Ndaro amefariki…