Miradi
2 March 2024, 6:14 pm
Majaliwa: Serikali itaimarisha miradi yote ya kimkakati
Waziri mkuu Kasim Majaliwa amesema kuwa serikali itaendelea kuimarisha miradi yote ya kimkakati na kupokea changamoto zote kupitia wabunge. Na Adelinus Banenwa Waziri mkuu Kasim Majaliwa amesema kuwa serikali itaendelea kuimarisha miradi yote ya kimkakati na kupokea changamoto zote kupitia…
2 March 2024, 5:58 pm
Mkuu wa uhasibu Serengeti mikononi mwa polisi kwa ubadhirifu
Mkuu wa kitengo Cha uhasibu na fedha halmashauri ya wilaya ya Serengeti yuko mikononi mwa jeshi la polisi mkoani Mara kwa agizo la Mhe waziri Mkuu baada ya kukutwa na tuhuma za kuhamisha fedha za serikali zaidi ya shilingi Milioni…
10 March 2022, 8:20 pm
Bunda yajipanga kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi
Zaidi ya Bilion 3.4 zimetolewa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Bunda katika utekelezaji wa Mpango wa mabadiliko ya tabia ya nchi Akizungumza katika mafunzo maalumu ya usimamizi wa fedha za miradi yaliyofanyika Leo march 10, 2022 kwa Madiwani na wataalamu…
3 February 2022, 9:40 am
Watanzania watakiwa kuwaamini wataalamu wa ndani
Wito umetolewa kwa wananchi kuendelea kuwaamini wataalamu wazawa wanaotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yao na kuacha kuwabeza Hayo yamesemwa na mkurugezi wa kampuni ya AUDECIA InvestimentĀ Eng Kambarage Wasira anayetekeleza mradi wa ujenzi wa barabara ya Guta –…
17 April 2021, 5:26 pm
Mh Waitara. Amtaka mkandarasi kufanya kazi usiku na mchana
MARA: APRILI 17, 2021 NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara, amemtaka mkandarasi wa kampuni ya M/S Beijing Construction Engineering Group Company Limited, kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kwa wakati mradi wa upanuzi wa kiwanja cha ndege…