Mazingira FM
Mauaji
22 April 2024, 10:04 am
Auawa na kiboko saa tano usiku
Mwanaume wa miaka 55 Bunda auawa na kiboko saa tano usiku akiwa kandokando ya bwawa. Na Edward Lucas Juma Ryoba Waise maarufu Kebuchwa(55)mkazi wa Kijiji cha Mihingo amefariki dunia baada ya kushambuliwa na mnyama kiboko katika bwawa kijiji cha Mihingo…
3 April 2024, 7:02 am
Afisa kilimo Bunda auliwa na mke wake ikidaiwa chanzo ni wivu wa mapenzi
Afisa kilimo Bunda auawa na mke wake sababu zikitajwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Na Adelinus Banenwa Afisa kilimo bunda auwa na mke wake sababu zikitajwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Julius Rubambi [38] afisa kilimo kata ya Neruma halmashauri…