Mazingira FM

Mauaji

22 April 2024, 10:04 am

Auawa na kiboko saa tano usiku

Mwanaume wa miaka 55 Bunda auawa na kiboko saa tano usiku akiwa kandokando ya bwawa. Na Edward Lucas Juma Ryoba Waise maarufu Kebuchwa(55)mkazi wa Kijiji cha Mihingo amefariki dunia baada ya kushambuliwa na mnyama kiboko katika bwawa kijiji cha Mihingo…