Loliondo FM

Uhifadhi

7 May 2024, 11:17 am

Mabeyo: Hifadhi ya Ngorongoro inatakiwa ibaki wazi

Katika jitihada za serikali za kuhakikisha eneo la hifadhi ya Ngorongoro libaki wazi kupisha shughuli za uhifadhi,mamlaka ya hifadhi hiyo NCAA wapo katika hatua za mwisho kukamilisha ujenzi wa makao makuu yao wilaya ya Karatu mkoani Arusha. Na Mwandishi wetu.…

24 March 2024, 11:15 am

UCRT wazindua mradi mpya wa uhifadhi shirikishi Ngorongoro

Shiraika la UCRT limekuwa likitekeleza shughuli mbalimbali pamoja na miradi ya maendeleo wilayani hapa kwa manufaa ya wananchi huku wakishirikiana na halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro kwa ukaribu. Na Mathias Tooko, Uzinduzi wa mradi huo umefanyika Machi 23 2024 kupitia…