Uhifadhi
7 May 2024, 11:17 am
Mabeyo: Hifadhi ya Ngorongoro inatakiwa ibaki wazi
Katika jitihada za serikali za kuhakikisha eneo la hifadhi ya Ngorongoro libaki wazi kupisha shughuli za uhifadhi,mamlaka ya hifadhi hiyo NCAA wapo katika hatua za mwisho kukamilisha ujenzi wa makao makuu yao wilaya ya Karatu mkoani Arusha. Na Mwandishi wetu.…
6 April 2024, 12:26 pm
Kamishna wa uhifadhi atumia milioni 400 kulala hotelini Ngorongoro
Viongozi wa ngazi za chini waliochaguliwa na wananchi kutetea na kuibua kero zao wilayani Ngorongoro wameendelea kusimama na wananchi, hii ni baada ya diwani wa kata ya Alaitole tarafa ya Ngorongoro kuibua sakata la aliyekuwa kamishna wa mamlaka ya huifadhi…
24 March 2024, 11:15 am
UCRT wazindua mradi mpya wa uhifadhi shirikishi Ngorongoro
Shiraika la UCRT limekuwa likitekeleza shughuli mbalimbali pamoja na miradi ya maendeleo wilayani hapa kwa manufaa ya wananchi huku wakishirikiana na halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro kwa ukaribu. Na Mathias Tooko, Uzinduzi wa mradi huo umefanyika Machi 23 2024 kupitia…
28 January 2024, 4:59 pm
Atakayehama kwa hiari Ngorongoro kupewa haki zote za msingi
Katika mwendelezo wa wananchi wanaoishi ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kuhama kwa hiari kupisha zoezi la uhifadhi, hatimaye kaya zingine 118 zenye watu 818 na mifugo 3,129 wamehama kuelekea Msomera. Na Edward Shao Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. John…