Loliondo FM
Mauaji
15 February 2024, 12:22 am
Amuua mke wake, atokomea kusikojulikana
Matukio ya ukatili kwa wanawake hususani ya mauaji yameshamiri kwa mwezi Februari wilayani Ngorongoro ya wanaume kuwaua wake zao hili likiwa ni tukio la pili kwa mwanaume kumua mkewe ndani ya wiki moja tu. Na Edward Shao. Kijana mmoja anayejulikana…
10 February 2024, 1:36 pm
Auawa kwa kuchapwa na mume wake akilazimishwa kuishi nae Ngorongoro
Matukio ya ukatili kwa wanawake yameendela kuripotiwa ambapo mwanamke mwenye umri wa miaka 22 auawa kwa kuchapwa na mume wake akilazimishwa kuishi nae Ngorongoro. Na Edward Shao. Mwanamke mmoja Nanyori Mohe (22) mkaazi wa kijiji cha Malambo kata ya Malambo…