Ufugaji
24 March 2024, 11:15 am
UCRT wazindua mradi mpya wa uhifadhi shirikishi Ngorongoro
Shiraika la UCRT limekuwa likitekeleza shughuli mbalimbali pamoja na miradi ya maendeleo wilayani hapa kwa manufaa ya wananchi huku wakishirikiana na halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro kwa ukaribu. Na Mathias Tooko, Uzinduzi wa mradi huo umefanyika Machi 23 2024 kupitia…
22 March 2024, 2:02 pm
Enguserosambu wagoma kutoa eneo la shamba darasa Ngorongoro
Wafugaji waliowengi wilayani Ngorongoro wanahitaji elimu ya ufugaji bora,wakisasa na wenye tija hivyo elimu mbalimbali ihusuyo ufugaji,na mashamba darasa ni miongoni mwa elimu hiyo. Na Edward Shao. Mkuu wa wilaya Ngorongoro Kanali Wilson Sakulo amewataka wanakijiji wa kata ya Enguserosambu…
28 January 2024, 4:59 pm
Atakayehama kwa hiari Ngorongoro kupewa haki zote za msingi
Katika mwendelezo wa wananchi wanaoishi ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kuhama kwa hiari kupisha zoezi la uhifadhi, hatimaye kaya zingine 118 zenye watu 818 na mifugo 3,129 wamehama kuelekea Msomera. Na Edward Shao Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. John…