Loliondo FM

Ufugaji

24 March 2024, 11:15 am

UCRT wazindua mradi mpya wa uhifadhi shirikishi Ngorongoro

Shiraika la UCRT limekuwa likitekeleza shughuli mbalimbali pamoja na miradi ya maendeleo wilayani hapa kwa manufaa ya wananchi huku wakishirikiana na halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro kwa ukaribu. Na Mathias Tooko, Uzinduzi wa mradi huo umefanyika Machi 23 2024 kupitia…

22 March 2024, 2:02 pm

Enguserosambu wagoma kutoa eneo la shamba darasa Ngorongoro

Wafugaji waliowengi wilayani Ngorongoro wanahitaji elimu ya ufugaji bora,wakisasa na wenye tija hivyo elimu mbalimbali ihusuyo ufugaji,na mashamba darasa ni miongoni mwa elimu hiyo. Na Edward Shao. Mkuu wa wilaya Ngorongoro Kanali Wilson Sakulo amewataka wanakijiji wa kata ya Enguserosambu…