Kilimo
8 May 2024, 12:29 pm
DC Karagwe aagiza kutaifisha kahawa badala ya faini
Kumekuwa na tatizo la kuvuna na kuuza kahawa mbichi maarufu kama “Obutura “katika wilaya zinazolima zao hilo mkoani Kagera ikiwemo Karagwe. Hali hii inadaiwa kuwapunja wakulima kwani wanajikuta wakipata hasara kutokana na mauzo ya zao hilo kabla ya wakati wake.…
25 April 2024, 10:13 pm
Wakulima wa Kahawa Kyerwa wakombolewa na Juhudi AMCOS
JUHUDI AMCOS Ushirika wa Kilimo na Masoko umewapatia wakulima bei nzuri ya kihistoria.Wakulima sasa wanafaidika na zao la Kahawa wilayani Kyerwa Mkoani Kagera. Na.Edisoni Tumaini Galeba Ushirika wa JUHUDU ulioanzishwa rasmi mwaka 2012 na kuruhusiwa na Serikali kusimama wenyewe mwaka…
6 April 2024, 3:47 pm
DC Kyerwa aitaka KDCU kuhamasisha matumizi ya miche bora ya kahawa iliyofanyiwa…
Mkuu wa wilaya ya Kyerwa Zaituni Abdallah Msofe akihutubia katika mkutano mkuu wa chama kikuu cha ushirika cha wilaya za Karagwe na Kyerwa, kushoto (aliyekaa) ni Mkuu wa wilaya ya Karagwe Julius Kalanga Laiser. Picha na: Eliud Henry Uchumi wa…