Karagwe FM

Kilimo

8 May 2024, 12:29 pm

DC Karagwe aagiza kutaifisha kahawa badala ya faini

Kumekuwa na tatizo la kuvuna na kuuza kahawa mbichi maarufu kama “Obutura “katika wilaya zinazolima zao hilo mkoani Kagera ikiwemo Karagwe. Hali hii inadaiwa kuwapunja wakulima kwani wanajikuta wakipata hasara kutokana na mauzo ya zao hilo kabla ya wakati wake.…

25 April 2024, 10:13 pm

Wakulima wa Kahawa Kyerwa wakombolewa na Juhudi AMCOS

JUHUDI AMCOS  Ushirika wa Kilimo na Masoko umewapatia wakulima bei nzuri ya kihistoria.Wakulima sasa wanafaidika na zao la Kahawa wilayani Kyerwa Mkoani Kagera. Na.Edisoni Tumaini Galeba Ushirika wa JUHUDU ulioanzishwa rasmi mwaka 2012 na kuruhusiwa na Serikali  kusimama wenyewe mwaka…