HABARI KITAIFA
April 2, 2021, 7:59 am
Akamatwa akisafirisha Kobe 438
JESHI la Polisi mkoani Simiyu limemkamata mtu mmoja (jina lake limehifadhiwa) mwenye umri wa miaka 35, mkazi wa Wilaya ya Bunda mkoani Mara akiwa na mabegi matatu yaliyokuwa yamebeba kobe hai wapatao 438 wenye thamani ya shilingi milioni 71.1. Mtuhumiwa…
April 2, 2021, 7:36 am
Wachenjuaji wa dhahabu wajenga kituo cha Polisi
MKUU wa Wilaya ya Shinyanga, Jasinta Mboneko ameeleza kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa kituo cha Polisi kilichopo kwenye machimbo ya Dhahabu Mwakitolyo wilayani Shinyanga, ambacho kitasaidia kuimarisha ulinzi na usalama katika eneo hilo. Mboneko amebainisha hayo leo alipofanya ziara…
March 31, 2021, 8:25 am
Mbaroni kwa kumpa Mimba bintiwa Darasa la nne.
Jeshi la polisi mkoani Kagera linamshikilia Kusekwa Madaha (27) mkazi wa kijiji cha Murongo wilayani Kyerwa kwa tuhuma ya kumpa mimba mwanafunzi wa darasa la nne ambaye jina lake na la shule, vimehifadhiwa. Kamanda wa polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi…
March 30, 2021, 1:03 pm
Bunge laidhinisha DKT.PHILIP MPANGO kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha DKT. PHILIP MPANGO kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa 100%, Wabunge waliopiga kura ni 363 na wote wamepiga kura ya NDIO, hakuna kura iliyoharibika.
March 30, 2021, 11:50 am
Philip Mpango apendekezwa kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN amempendekeza Waziri wa Fedha Dk. Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kinachofuata sasa ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuthibitisha jina lake…
March 30, 2021, 8:47 am
Babu wa miaka 52 aoa Binti wa Darasa la sita kwa mahali ya N’gombe wawili.
Katika tukio la kushangaza, mzee mwenye umri wa miaka 52 anadaiwa kumuoa mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Bugire iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Rorya mkoani Mara. Vyanzo vyetu vya uhakika kutoka Rorya vimeeleza hivi karibuni kuwa…
March 28, 2021, 1:54 pm
Wananchi Manispaa ya Kahama Wamlilia JPM,
Wakazi wa manispaa ya KAHAMA mkoani SHINYANGA wameeleza kuhuzunishwa na kifo cha aliyekuwa raisi wa TANZANIA JOHN POMBE MAGUFULI Wakizungumza na KAHAMA FM baadhi ya wakazi hao,FANUEL NZAGAMBA na SAMWELI MATIKO wamesema hayati MAGUFULI alikuwa na maono yenye matokeo chanya…
March 28, 2021, 1:37 pm
Ripoti ya CAG yabaini dosari ya matumizi ya fedha yanayofanywa na vyama vya sias…
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kicheere imeendelea kubaini dosari ya matumizi ya fedha yanayofanywa na taasisi na mashirika ya umma pamoja na vyama vya siasa. CAG amesema kati ya hati 900 alizozikagua, hati…