HABARI KITAIFA
April 29, 2021, 10:08 am
Kikosi cha 23 KJ Kimehitimisha mafunzo rasmi ya Sambalatisha Adui.
Jeshi la wananchi wa Tanzania kikosi cha 23 KJ limehitimisha mafunzo rasmi ya sambalatisha adui yaliyolenga kujikumbusha mbinu mbalimbali za kivita ikiwa ni pamoja na kujiweka timamu kila wakati ili kuendelea kulinda mipaka ya nchi . Mkuu wa shule ya ifantiria Brigedia Jenerali Selemani Gwaya ambaye…
April 25, 2021, 4:41 pm
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP DEBORA MAGILIGIMBA amefanya ukaguzi kwa…
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP DEBORA MAGILIGIMBA leo Jumapili Aprili 25,2021 saa 11 alfajiri amefanya ukaguzi kwa mabasi yaendayo mikoani kutoka Kituo Cha Mabasi Kahama na kutoa elimu ya usalama barabarani kwa abiria na madereva wa magari hayo.…
April 23, 2021, 7:54 am
Madiwani Kishapu waazimia kumsimamisha kazi mweka hazina.
WIKI Kadhaa baada ya ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuipa hati ya mashaka Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, Madiwani wa halmashauri hiyo kwa kauli moja wameazimia kumsimamisha kazi Mweka hazina wa halmashauri hiyo, Deus…
April 21, 2021, 7:15 pm
Mkazi wa Nyasubi wilayani Kahama leo afikishwa katika Mahakama ya wilaya.
Mkazi wa Nyasubi wilayani Kahama mkoani Shinyanga JONATHANI JULIUS MANYAMA mzanaki (32) leo amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Kahama kwa ajili ya kuendelea kusikilizwa kwa shauri lake la ubakaji Pamoja na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha nne wa…
April 15, 2021, 4:32 pm
Serikali Wilayani Kahama Yaipongeza Benki ya TPB Kwa kutoa madawati 92 Ushetu.
SERIKALI Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga imeishukuru Benki ya Posta Tanzania (TPB) Kwa kujali na kutumia faida yake waliopata kuirudisha kwenye jamii kwa kutoa jumla ya madawati 92 katika Shule ya Sekondari Ubagwe Halmashauri ya ushetu. Akizungumza mara baada ya kupokea…
April 15, 2021, 4:15 pm
Wadau Shinyanga walia na Shria ya ndoa ya Mwaka 1971 ya binti kuolewa akiwa na m…
SHERIA ya ndoa ya mwaka 1971 ambayo inaruhusu mtoto mwenye umri wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya wazazi, na 15 Mahakama, imetajwa kuwa tatizo kukomesha mimba na ndoa za utotoni. Mkurugenzi wa Shirika la Agape linalotetea haki za wanawake…
April 15, 2021, 4:04 pm
Vijana walionzisha kiwanda cha chaki Shinyanga walia kukosa soko.
Kikundi cha vijana 15 ambao ni wakazi wa Manispaa ya Shinyanga, walioanzisha kiwanda cha kutengeneza Chaki kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi, wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Zainab Telack, kuwaunga mkono kwa kutoa maagizo kwa shule zote mkoani humo zinunue…
April 12, 2021, 6:57 am
Wawekezaji wa viwanda Shinyanga wapongeza maamuzi ya Rais Samia Kuhusu Kodi.
BAADHI ya wawekezaji wa viwanda katika Manispaa ya Shinyanga mkoani hapa, wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa hotuba yake aliyoitoa hivi karibuni, wakati akiwapisha makatibu wakuu na manaibu kutoka wizara mbalimbali, na kuonyesha neema kwa wawekezaji hasa kwenye suala la…
April 9, 2021, 8:14 am
Wachimbaji wadogo watinga ofisi za DC na mabango ya kumkataa mwekezaji.
Mgogoro wa mara kwa mara kati ya wachimbaji wadogo na watu wanaopewa leseni za uchimbaji na tume ya madini katika mgodi wa Bulambaka ulioko katika Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu umeingia katika sura mpya. Mgogoro huo umewalazimu wachimbaji wadogo kuandamana…
April 6, 2021, 7:49 am
Mwanafunzi wa darasa la kwanza aliwa na mamba Ziwa Victoria.
Janeti Mganga (8) aliyekuwa anasoma darasa la kwanza shule ya msingi Busikimbili iliyoko kata ya Maisome, Halmashauri ya Buchosa, wilayani Sengerema mkoani Mwanza ameuawa na mamba wakati akioga kwenye Ziwa Victoria huku baadhi ya viungo vya mwili wake vikiwa vimenyofolewa…