Kahama FM

HABARI KITAIFA

August 17, 2021, 4:16 pm

KAHAMA:Wakulima wa pamba waomba kupatiwa Elimu ya Kilimo Hai.

KAHAMA Wakulima wa zao la Pamba wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba kampuni ya utengenezaji wa nyuzi New Tabora Textile kuwapa elimu ya uzalishaji wa pamba usiotumia Dawa na mbolea nyingi katika uzalishaji(Kilimo hai) Ombi hili limetolewa na wakulima wa Pamba…

May 3, 2021, 10:43 pm

SERIKALI yapigilia msumari waandishi kuwa na Diploma.

Na Kijukuu Cha Bibi K-Arusha. SERIKALI imesisitiza kuwa kufikia mwezi wa kumi na mbili mwaka huu sheria iliyopitishwa ya kuwataka waandishi wa Habari wawe na kiwando cha elimu ngazi ya stashahada itaanza kutumika na kwamba waandishi ambao hawana elimu ngazi…

May 2, 2021, 1:35 pm

DC ARUSHA:Tutawalinda waandishi wa habari na haki zao.

Na Kijukuu cha bibi K SERIKALI imeahidi kushirikiana na waandishi wa Habari wote nchini katika shughuli mbali mbali za maendeleo ikiwa ni Pamoja na kuwalinda waandishi wa Habari na kulinda haki zao. Hayo yamesemwa leo Jijini Arusha na Mkuu wa…