HABARI KITAIFA
August 29, 2021, 11:04 am
DODOMA:Serikali yaombwa kuanzishwa vituo vya kuhifadhia Data katika jamii.
SERIKALI imeombwa kuanzisha na kutoa leseni kwa vituo jamii vya kuhifadhi taarifa (yaani community-owned data centre) ili kuongeza idadi maudhui ya ndani (yaani local content) ambavyo vitakuwa chachu ya kuongeza idadi ya watumiaji wa internet kama ilivyo lengo la serikali…
August 17, 2021, 4:16 pm
KAHAMA:Wakulima wa pamba waomba kupatiwa Elimu ya Kilimo Hai.
KAHAMA Wakulima wa zao la Pamba wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba kampuni ya utengenezaji wa nyuzi New Tabora Textile kuwapa elimu ya uzalishaji wa pamba usiotumia Dawa na mbolea nyingi katika uzalishaji(Kilimo hai) Ombi hili limetolewa na wakulima wa Pamba…
July 15, 2021, 12:10 pm
Miradi 6 ya maendeleo yenye thamani ya milioni 967,2 wilayani Urambo yazinduliwa…
MIRADI sita yenye thamani ya milioni 967.2 Wilayani Urambo imezinduliwa na mbio maalumu za Mwenge wa Uhuru. Kati ya miaradi hiyo Serikali kuu imechangia kiasi cha shilingi milioni 831.3 na, Halmashauri imechangia 134.9. Kiongozi wa Mbio hizo Maalumu za Mwenge…
July 15, 2021, 12:00 pm
SHULE YA SEKONDARI GEITA YAFUNGWA BAADA YA KUUNGUA MOTO MARA YA TATU.
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Rosemary Senyamule ameifunga Shule ya Sekondari ya Wavulana Geita (GESECO) kwa muda wa wiki mbili baada ya moto kuwaka katika bweni la wavulana usiku wa kuamkia leo Julai 14, 2021. Kutokana na uamuzi huo, wanafunzi…
July 15, 2021, 8:41 am
Wahitimu vyuo vikuu walazimika kuolewa kutokana na kukosa ajira mtaani.
Wanawake waliohitimu vyuo vikuu nchini wamesema wanalazimika kuingia kwenye ndoa ili kujikwamua na ugumu wa maisha wanapofika mtaani baada ya kukosekana kwa ajira licha ya kuwa na elimu ya juu. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wadau mjini Njombe wakati wakitoa…
July 8, 2021, 8:24 am
Maafisa ardhi watakaomilikisha kiwanja kimoja mara mbili kuchukuliwa hatua.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema watumishi wa sekta ya ardhi watakaohusika kwa namna moja ama nyingine kumilikisha kiwanja kimoja mara mbili (Double allocation) watachukuliwa hatua kali. Alizungumza mara baada ya kukagua shughuli za utendaji…
May 11, 2021, 4:12 pm
UNA:Waandishi wa Habari zingatieni Malengo Ya Maendeleo Endelevu 2030 katika taa…
DAR ES SALAAM Waandishi wa Habari hususan wa redio za kijamii nchini wametakiwa kutumia malengo ya maendeleo endelevu 2030 katika kuibua changamoto mbalimbali zilizopo katika jamii zao kwa lengo la kuleta ufumbuzi na kuwakumbusha wasimamizi na watunga sera. Hayo yamesemwa…
May 6, 2021, 4:32 pm
Umoja wa wanawake Tanzania wa chama cha mapinduzi (UWT) wilaya ya Kahama, umetoa…
Umoja wa wanawake Tanzania wa chama cha mapinduzi (UWT) wilaya ya Kahama, umetoa msaada kwa Shule ya msingi kahama A iliyopo katika manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga ambapo imepatiwa masinki 10 ya vyoo yenye thamani ya shilingi laki mbili ili…
May 3, 2021, 10:43 pm
SERIKALI yapigilia msumari waandishi kuwa na Diploma.
Na Kijukuu Cha Bibi K-Arusha. SERIKALI imesisitiza kuwa kufikia mwezi wa kumi na mbili mwaka huu sheria iliyopitishwa ya kuwataka waandishi wa Habari wawe na kiwando cha elimu ngazi ya stashahada itaanza kutumika na kwamba waandishi ambao hawana elimu ngazi…
May 2, 2021, 1:35 pm
DC ARUSHA:Tutawalinda waandishi wa habari na haki zao.
Na Kijukuu cha bibi K SERIKALI imeahidi kushirikiana na waandishi wa Habari wote nchini katika shughuli mbali mbali za maendeleo ikiwa ni Pamoja na kuwalinda waandishi wa Habari na kulinda haki zao. Hayo yamesemwa leo Jijini Arusha na Mkuu wa…