Joy FM

viongozi wa vyama vya siasa

6 May 2024, 17:06

ACT Wazalendo yampitisha zito kuwa rais

Kiongozi wa cha ACT wazalendo Zitto Zuberi Kabwa amesema kama atagombea urais mwaka 2025 kama wananchi na wanachama wa chama hicho watampa ridhaa ya kuwaongoza. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar…

28 February 2024, 08:58

Vyama vya siasa kushirikishwa vyanzo vipya vya mapato Kasulu

Watendaji wa kata zilizopo ndani ya halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwashirikisha madiwani na viongozi wa vyama vya siasa pindi wanapoanzisha vyanzo vipya vya mapato katika kata zao. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilayani…