Joy FM

ujenzi wa ofisi

21 February 2024, 16:28

Jeshi la polisi limekamata siraha mbili zilizotelekezwa buhigwe

Watu wasiojulikana wametelekeza siraha mbili katika kijiji cha Kibuye Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma Na, Lucas Hoha Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma limefanikiwa kukamata vitu mbalimbali ikiwemo silaha AK47 moja ikiwa na Magazine yenye risasi 22 na Chinese Pisto moja ikiwa…

20 February 2024, 11:25

Idadi ya wanafunzi walioripoti shule Kasulu hairidhishi

Tangu shule zifunguliwe januari 8 mwaka 2024 takwimu zinaonyesha wanafunzi walio wengi hawajaripoti kuanza masomo ya kidato cha kwanza. Na Michael Mpunije Idadi ya wanafunzi walioripoti shuleni kuanza kidato cha kwanza tangu shule zilipofunguliwa januari 8 mwaka huu inatajwa kuwa…

9 February 2024, 13:56

Wanafunzi 600 hawajaripoti shule wilayani kibondo

Ofis ya Eliu wilayani Kibondo imeanza msako wa kuwatafuta wanafunzi waliofaulu kujiunga kidato cha kwanza na hawajaripoti shuleni mpaka sasa. Na, James Jovin Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma imeanza msako wa wanafunzo wote ambao bado hawajajiandikisha kuanza masomo…

7 February 2024, 14:32

Halmashauri ya Kibondo kujenga jengo la ghorofa 3

Halmashauri ya wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma imetenga shilingi bilioni 2.5 ili kujenga jengo jipya la vijana community center ikiwa ni mikakati ya kuchochea na kukuza uchumi wa halmashauri na jamii kwa ujumla  Na, James Jovin Hayo yamebainishwa na diwani…