Joy FM
ufaulu wa wanafunzi wa kike
19 March 2024, 10:02
Shule ya wasichana Mkugwa yakabiliwa na upungufu wa nyumba za walimu, mabweni
Shule ya Sekondari ya wasichana Mkugwa iliyoko Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma inakabiliwa na changamoto mbali mbali ikiwemo upungufu wa nyumba za walimu, mabweni na madarasa hali inayozorotesha kiwango cha taaluma shuleni hapo. Hayo yamebainishwa na mkuu wa shule hiyo mwalimu…
6 March 2024, 08:44
Kuwashinikiza watoto wa kike kufeli bado ni tatizo Kigoma
Wazazi na walezi wa halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuacha tabia ya kuwapa maelekezo watoto wao wa kike kujifelisha katika mtihani wa taifa wa darasa la saba ili wasipate nafasi ya kujiunga na kidato cha kwanza. Wito huo…