Joy FM
Joy FM
18 August 2025, 14:46
Wanawake wameshauriwa kushiriki katika katika shughuli mbalimbali ikiwemo uongozi Na Hagai Ruyagila Wanawake wa kata ya Muzye Halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na msimamo thabiti na kujitokeza kwa wingi kushiriki shughuli za maendeleo pamoja na kuchangamkia…
13 August 2025, 7:28 pm
Mapokezi ya mwenge huo ni shule ya msingi Balili Augost 15 2025 Asubuhi. Na Adelinus Banenwa Jumla ya miradi yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 3.5 inatarajiwa kutembelewa na mwenge wa uhuru kitaifa mwaka 2025 kwa halmashauri ya mji…
13 August 2025, 7:20 pm
Kwa wilaya ya Musoma mapokezi ni tarehe 16 katika kijiji cha Kabulabula halmashauri ya wilaya ya Musoma. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Musoma Mhe Juma Chikoka ameomba wakazi wote wa wilaya ya Musoma kujitokeza kwa wingi katika mapokezi…
13 August 2025, 7:12 pm
Miradi itakayotekelezwa ni pamoja na ujenzi wa barabara za Mkendo, Shaabani na Musoma–Saanane, Ujenzi wa Soko Kuu la Nyasho na Kituo cha Mabasi cha Bweri. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Musoma Mhe Juma Chikoka amemshukuru Rais wa Jamhuri…
13 August 2025, 7:07 pm
Mazingira ya dereva kukimbia eneo la tukio la ajali linashauriwa endapo mazingira ya usalama wake yatakuwa ni hatari na si vinginevyo. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa kwa mujibu wa sheria ya usalama barabarani kifungu cha 68 kinamtaka dereva aliyesababisha ajali…
10 August 2025, 3:20 pm
“Ukiwa mdau wa maendeleo na ukatoa mchango unaoigusa jamii moja kwa moja basi na wewe mungu anazidi kukubariki” Na Taro Michael Mujora Wadau mbalimbali wametakiwa kushirikiana kwa karibu na jamii katika kugusa mahitaji ya watu wenye uhitaji, hususan kupitia taasisi…
8 August 2025, 11:54 am
Msaada huo umetolewa kwa lengo la kuhakikisha watoto hao wanapata huduma za afya kwa urahisi na usalama. Na Taro Michael Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na waendesha baiskeli wa twende Butiama wametoa msaada wa kadi za bima ya afya kwa…
7 August 2025, 11:57 am
Kangi Lugola ampiku Kajege kura za maoni Mwibara huku Boni Getere aking’ara jimbo la Bunda Na Adelinus Banenwa Ni waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wa zamani Kangi Lugola ameongoza kura za maoni za chama cha mapinduzi kwa jimbo…
7 August 2025, 11:26
Siku chache baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa kwanza katika uchaguzi wa kura za maoni, Mgombea ubunge katika Jimbo la Kigoma Mjiji Kirumbe Ng’enda ametoka hadharani na kuwashukuru wajumbe na kuweka wazi kilichompa ushindi huo Na Tryphone Odace Mgombe ubunge…
5 August 2025, 17:17
Rais wa Jamhuri ya Burundi Evariste Ndayishimiye amemteua Nestor Ntahontuye kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Na Bukuru Elias Daniel Waziri wa zamani wa fedha na hazina wa Burundi Nestor Ntahontuye ameteuliwa kuwa waziri mkuu wa Burundi katika mabadiliko mapya…