Joy FM
Joy FM
18 September 2025, 1:12 pm
Afisa afya halmashauri ya mji wa Bunda Wilfred Gunje amebainisha kuwa magonjwa ya mlipuko ni magonjwa yanayotokea kwa ghafla na kuenea kwa haraka kama,covid 19 ,homa ya manjano,ebola na kuhara na kutapika Na Catherine Msafiri Serikali imeweka mikakati katika kukabiliana…
17 September 2025, 09:57
Mwenge wa uhuru umewasili Wilayani Kasulu na unatarajia kupitia na kukagua miradi 14 ya maendeleo Na Hagai Ruyagila Jumla ya miradi 14 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.7 inatarajiwa kukaguliwa, kutembelewa na mingine kuwekewa jiwe la msingi wakati…
17 September 2025, 09:11
Mwenge wa uhuru umeendelea kukimbizwa katika Halmashauri za Mkoa wa Kigoma kwa kutembelea na kuweka mawe ya msingi Na Hagai Ruyagila Miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo miradi ya shule afya na miradi ya vikundi vya vijana na wanawake katika Halmashauri…
16 September 2025, 09:56
Mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2025 zimeanza rasmi mkoani Kigoma ambapo miradi 16 ikitarajiwa kuwekewa mawe ya Msingi, mmoja kufunguliwa, 27 kuzinduliwa huku mingine 12 ikitembelewa na kukaguliwa. Na Tryphone Odace Mwenge wa uhuru umeanza mbio zake Mkoani…
15 September 2025, 10:53 pm
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Mtambi amesisitiza umuhimu wa kuimarisha juhudi za pamoja za uhifadhi, pamoja na kuendeleza mshikamano baina ya jamii zinazozunguka bonde hilo. Na Catherine Msafiri, Maadhimisho ya Mara Day yamehitimishwa leo 15 septemba 2025 katika viwanja…
14 September 2025, 6:14 PM
Kuzaliwa mwanaume ni zawadi ila kuwa mwanaume ni maamuzi..msemo huu ukimaanisha kuwa mwanaume ni kutambua majukumu yanayo kupasa na kuyafanyia kazi. Ni katika maafali ya 24 yaliyofanyika shule ya wavulana Rondo Junior Seminar iliyopo Mtama Mkoa wa Lindi ambapo na…
14 September 2025, 10:33 am
Mhomboje amesisitiza kuwa zoezi la uchaguzi linawahusu Watanzania pekee, na kwamba raia wa kigeni hawaruhusiwi kushiriki kwa namna yoyote ile. Na Edward Lucas Wananchi wametakiwa kutokuwa na hofu kutembelea ofisi za Uhamiaji kwa ajili ya kuuliza na kupata taarifa mbalimbali…
12 September 2025, 11:47 am
Kwa mujibu wa kifungu cha 70(1) cha sheria ya utawala wa kodi sura 438 na kifungu cha 249 cha sheria ya forodha ya jumuiya ya Afrika mashariki ya mwaka 2004 , Na Catherine Msafiri, Imeelezwa kuwa mamlaka ya mapato Tanzania…
11 September 2025, 9:04 pm
“Inaonesha mzee huyo amejinyonga kutokana na msongo wa mawazo kwa kuwa ni kama familia yake ilikuwa haimjali” Na Adelinus Banenwa Mzee mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Odondo mwenye umri wa miaka 93 mkazi wa kijiji cha Nyaburundu kata ya…
11 September 2025, 8:36 pm
Maadhimisho hayo ya 14 yanatarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 12 hadi Septemba 15, 2025, katika Viwanja vya Mwenge, Wilaya ya Butiama, mkoani Mara. Na Thomas Masalu Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, amewataka wananchi wa Mkoa wa Mara na…