Joy FM

maendeleo

26 February 2025, 14:38

TEA yakabidhi mradi wa nyumba nne na madarasa matatu Kasulu

Serikali imeendelea kuboresha elimu nchini kwa kujenga vyumba vya madarasa ili wananfunzi waweze kupata elimu bora. Na Hagai Ruyagila Mamlaka ya Elimu Tanzania TEA imekabidhi mradi wa nyumba nne kwa shule ya sekondari Nyumbigwa na madarasa matatu katika shule ya…

20 February 2025, 4:58 pm

Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa

Picha ya mwenyekiti wa shirikisho la umoja wa machinga, Haji Mponda. Picha na Samwel Mbugi. “Jisajilini ili mkizi vigezo muweze kupata mkopo” Na Samwel Mbugi Wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Machinga wamehamasishwa kujitokeza kwa wingi   kuomba mikopo inayotolewa na serikali…

19 February 2025, 13:08

Wananchi washirikishwe kwenye miradi ya maendeleo

Madiwani kama wawakilihi wa wananchi katika usimamizi wa miradi ya maendeleo wawashirikishe wananchi kufahamu maendeleo ya miradi hiyo Na Orida Sayon Taasisi ya kuzuia na  kupambana  na  rushwa takukuru Mkoa wa Kigoma imewataka madiwani katika halmashauri ya wilaya Kigoma  Mkoani…

19 February 2025, 10:45

Baraza la madiwani lapitisha bajeti ya bilioni 35.7 Kasulu Mji

Kaimu Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanali Kanali Michael Ngayalina ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya Buhigwe amesema bajeti iliyopishwa ikawe chachu ya kuchochea maendeleo kupitia miradi mbalimbali Na Hagai Ruyagila – Kasulu Baraza la Madiwani wa halmashauri ya Mji Kasulu…

19 February 2025, 09:51

Watumishi wa umma watakiwa kufanya kazi kwa weledi Kasulu

Kaimu Mkuu wa Wilaya Kasulu ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya Buhigwe Kanali Michael Ngayalina amesema watumishi wa umma hawana budi kuzingatia weledi na taaluma yao katika kuwatumikia wananchi. Na Hagai Ruyagila Watumishi wa Umma katika halmashauri ya Mji Kasulu…