Joy FM

maendeleo

5 April 2025, 12:08 am

Diwani na wenzake wapandishwa kizimbani Bunda

Watuhumiwa hao wanatajwa kutenda makosa ya Matumizi mabaya ya Madaraka, kughushi nyaraka kwa lengo la kumdanganya muajiri, kuunda vikundi hewa na kufanya ubadhirifu wa shilingi milioni 3. Na Adelinus Banenwa Watu wanne akiwemo diwani wilayani Bunda wamefikishwa mahakani kwa tuhuma…

3 April 2025, 16:50

Serikali kukamilisha miradi Kigoma

Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuhakikisha inakamilisha miradi yote ya maendeleo ili kufikisha huduma karibu na wananchi na kuchochea uchumi wa Taifa. Na Tryphone Odace Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu-Kazi Maalum, George Mkuchika amesema kuwa serikali imedhamiria kutekeleza…

1 April 2025, 15:16

Wananchi Buhigwe kunufaika na ujenzi wa SGR

Baada ya Serikali kuanza ujenzi wa reli ya kisasa SGR kutoka Tabora – Kigoma wananchi wameanza kunufaika na ujenzi kupitia miradi mbalimbali inayojengwa karibu na vijiji reli hiyo inapopita. Na Tryphone Odace – Buhigwe Wananchi wa jimbo la Buhigwe wilaya…

30 March 2025, 12:58 pm

Winfrida TAKUKURU tunamlinda mtoa taarifa za rushwa

Kwa mujibu wa kifungu cha 51 na 52 cha sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa sura ya 329 kinaeleza vizuri kwa namnagani taarifa zinazotolewa zinakuwa za siri na maafisa wa takukuru wanazilinda na kumlinda mtoa taarifa. Na Adelinu Banenwa…

28 March 2025, 16:38

Wajasiriamali, wafanyabiashara watakiwa kuwa wabunifu Kigoma

Serikali itaendelea kushirikiana na wafanyabiashara pamoja na mashirika mbalimbali kwa kutoa ujuzi wa namna bora ya kukuza biashara zao. Na Michael Mpunije Wajasiriamali na wafanyabiashara mkoani Kigoma wametakiwa kuwa wabunifu ili kuingia katika soko la biashara lenye kuleta tija na…

25 March 2025, 13:01

Wanafunzi elimu ya watu wazima waomba kuboreshewa miundombinu

November 24 mwaka 2021 aliyekuwa waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako alitangaza kuruhusiwa kurejea shuleni kwa wanafunzi waliokatisha masomo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito kurejea shuleni kwa mfumo rasmi baada ya kujifungua. Na Josephine Kiravu Wanafunzi…