Joy FM
Joy FM
16 April 2025, 5:10 pm
Ni aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa TANESCO aliyefariki kwa ajali ya gari eneo la nyatwali Bunda Na Adelinus Banenwa Shughuli ya mazishi ya aliyekuwa mkurugenzi wa TANESCO Boniface Gissima Nyamo-hanga inaendelea nyumbani kwake Mtaa wa Migungani kata ya Bunda stoo Bunda…
15 April 2025, 13:36
Vitendo vya uhalifu vinaweza kudhibitiwa iwapo tu wananchi watashirikiana na Polisi kata kukabiliana na vitendo vya uhalifu kwenye jamii Na Emmanuel Kamangu Polisi kata wilayani kasulu wametakiwa kushirikiana kikamilifu na wananchi katika kata wanazoziongoza ili kuwa rahisi kubaini wahalifu. Amebainisha…
15 April 2025, 11:25
Serikali kuendelea kusimamia na kudhibiti uhalifu wa kifedha Na Glory Enock Paschal Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania itaendelea kushiriki na kutimiza matakwa ya kimataifa katika kupambana na kudhibiti uhalifu wa kifedha. Amesema kuwa Tanzania inatambua changamato za uhalifu…
14 April 2025, 13:49
Mkuu wa Mkoa Kigoma Thobias Andengenye amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo katika kuhamasisha jamii kutumia nishati safi ya kupikia. Na Josephine Kiravu Wadau mkoani kigoma wametakiwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu matumizi ya nishati safi ya…
14 April 2025, 08:35
Maafisa usafirishaji maarufu Madereva bodaboda wilayani Kigoma wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kukabiliana na vitendo vya ukatili. Na Kadislaus Ezekiel Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashidi Chuachua amewataka madereva bodaboda kusaidia kudhibiti matukio ya ubakaji na ulawiti kwa…
11 April 2025, 17:28
Wasariamali na wafanyabiashara wadogo wamepewa mafunzo yanayolenga kuwainua kiuchumi Na Michael Mpunije Wasimamizi wa taasisi za kifedha wametakiwa kushirikiana na wajasiriamali pamoja na wafanyabiashara wadogo wadogo na wa kati katika kuandaa mpango wa Biashara ili kuhakikisha wanajikwamua kiuchumi. Hayo yamejiri…
11 April 2025, 2:26 PM
Mkuu wa wilaya ya Masasi Bi. Rachel Kassanda akifuatilia baadhi ya matukio yaliyokuwa yanaendelea wakati wa mkutano wa hadhara. Picha na Godbless Lucius Wanafunzi waliotakiwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2025, asilimia 98 wamesharipoti shuleni na kuanza masomo. Na…
9 April 2025, 13:20
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isaac Mwakisu amewaomba wananchi kutozuia ujenzi wa mradi kwani serikali itahakikisha wanalipwa fidia zao Na Hagai Ruyagila Serikali katika halmashauri ya mji Kasulu Mkoani Kigoma imejipanga kumaliza mgogoro wa Ardhi katika kata ya Nyumbigwa…
7 April 2025, 8:50 pm
Mwananchi kushawishi mgombea au mtia nia kumpatia chochote ni kinyume na sheria ya takukuru sura ya 329 kifungu cha 15 (8) Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kutojihusisha na vitendo vya rushwa hasa kwa kuwashawishi viongozi na watia nia…
7 April 2025, 17:01
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Kazi Maalum, Kapteni Mstaafu George Mkuchika akiwa katika ujenzi wa mradi wa kituo cha afya Makere ameeleza kuwa dhima ya serikali ni kuhakikisha wanaimarisha huduma za afya. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa…