Joy FM
Joy FM
9 December 2024, 11:02 am
Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na timu maalum kutoka Kikosi cha Usalama barabarani Makao Makuu limefanya ukaguzi wa vyombo vya moto ambapo jumla ya magari 45 yamekutwa na makosa mbalimbali. Akizungumza kwenye operesheni hiyo…
6 December 2024, 12:18
Pichani ni waziri mkuu wa Tanzania Kassimu Majaliwa akiwa kwenye mahafali ya 43 ya chuo kikuu Huria cha Tanzania ambayo yamefanyika Mkoani Kigoma Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kasimu Majaliwa amesema serikali itaendelea kuunga mkono kwa vitendo sekta ya Elimu…
6 December 2024, 09:37
Viongozi wa serikali za mitaa wametakiwa kuhamasisha suala la chakula shuleni ili kusaidia watoto kupata chakula na kuweza kusoma vizuri. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wenyeviti wa vijiji, vitongoji na wajumbe katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma waliochaguliwa…
4 December 2024, 12:42
Wadau wa maendeleo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuisadia Serikali kujitokeza kuchangia michango kwenye sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu ili kuinua kiwango cha ufaulu kwa wananfunzi. Na Michael Mpunije – Kasulu Benki ya CRDB kanda ya magharibi imekabidhi…
3 December 2024, 14:39
Wazazi na walezi wametakiwa kutokuwa sehemu ya kukwamisha na kuharibu ushahidi dhidi ya watau wanaotekeleza vitendo vya ukatili kwenye jamii. Na Josephine Kiravu Tukiwa katika muendelezo wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Hakimu mfawidhi mahakama ya mkoa wa…
25 November 2024, 14:27
Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma Mhashamu Joseph Mlola amewataka vijana kuwa mstari mbele kukemea vitendo vya rushwa kwenye jamii hasa kipindi hiki cha uchaguzi wa Serikali za mitaa. Na Emmanuel Kamangu Vijana mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanakemea ruswa…
21 November 2024, 12:54
Mkandarasi anayetajaiwa kujenga soko la mwanga na mwalo wa Katonga Manispaa ya Kigoma Ujiji ametakiwa kuanza ujenzi wa miradi hiyo ili iweze kukamilika kwa wakati na ubora unaotakiwa. Na Lucas Hoha – Kigoma Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji Kisena…
21 November 2024, 10:04
Wakati kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa zikiwa zimenduliwa rasmi, viongozi wa chama cha mapinduzi wameomba serikali kuaidia kutatua changamoto za ukosefu wa umeme na migogoro ya ardhi. Na Emmanuel Kamangu – Kasulu Serikali kupitia chama cha mapinduzi ccm…
20 November 2024, 2:19 pm
Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya kibondo wamefanya kikao cha utekelezaji wa shughuli za maendeleo za kata na kulidhia kuwakata asilimia 15 ya mshahara watumishi saba wa idara ya afya Na Emmanuel Kamangu Baraza la madiwani katika halmashauri ya…
19 November 2024, 14:27
Kampeni za uchaguzi wa serikaili za mitaa zinazinduliwa rasmi kitaifa katika eneo la Kiganamo Hamlmashauri ya mji wa Kasulu na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wakati kampeni za uchaguzi…