Joy FM

elimu

25 April 2024, 14:49

Wanachuo Kasulu wakosa vifaa vya kujifunzia

Serikali imeombwa kusaidia kutatua changamoto ya ukosefu wa vifaa vya kujifunzia wanafunzi wa chuo cha ualimu kaslu Mkoani Kigoma. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Chuo cha Ualimu Kasulu (Kasulu TTC) kilichopo halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma kinakabiliwa na changamoto…

24 April 2024, 15:02

Ujasiriamali kuwaponza walimu Kibondo

Baadhi ya walimu katika shule ya msingi Boma wilayani Kibondo mkoani Kigoma kwa kushirikiana na kamati ya shule hiyo wanatuhumiwa kuwazuwia wajasiliamali wadogo kuuza bidhaa zao kando na shule hiyo na badala yake walimu ndio wamegeuka wafanyabiashara badala ya kufundisha…