chanjo ya surua rubella
22 April 2024, 09:30
Saratani ya mlango wa kizazi inatibiwa acheni imani potofu
Ugonjwa wa Saratani ya mlango wa kizazi kwa watoto wa kike imeendelea kuwa tatizo jambo ambalo limeiamsha serikali kuendelea na kampeni ya chanjo kwa watoto wa kike ili kuepukana na ugonjwa huo Na Emmanuel Kamangu – Buhigwe Halmashauri ya Wilaya…
14 February 2024, 11:47
Watoto 61,545 kupatiwa chanjo ya surua rubella Kibondo
Watoto kuanza kupatiwa chanjo ya surua na rubela ikiwa ni mkakati wa serikali wa kuhakikisha wanadhibiti ugonjwa huo kwa watoto nchini. Na James Jovin Wizara ya afya imelenga kutoa chanjo ya Surua Rubella kwa watoto wapatao 61,545 wenye umri chini…
13 February 2024, 10:54
Watoto zaidi ya laki 4 kupatiwa chanjo ya surua, rubella
Zaidi ya watoto laki nne na elfu themanini na sita mia saba sabini na mbili wenye umri wa kuanzia miezi 9-59 Mkoani Kigoma wanatarajia kupatiwa chanjo ya Surua Rubella kuanzia Feb 15-18 mwaka huu kwenye vituo vya afya na zahanati…