Joy FM

baraza la madiwani

29 March 2024, 10:53

Madiwani watakiwa kusikiliza kero za wananchi Kasulu

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma Mberwa Chidebwe amewaagiza madiwani wote wa halmashauri ya wilaya ya Kasulu kusikiliza kero za wananchi ili ziweze kutatuliwa na serikali kuliko kusubiri viongozi wa kitaifa. Ameyasema hayo wakati akizungumza…

28 March 2024, 11:55

wapiga ramli chonganishi kuchukuliwa hatua kali za kisheria

Baraza la Madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma limeazimia kuchukua hatua kali za kisheria kwa wapiga ramli chonganishi maarufu kamchape kufuatia kufanya shughuli za uvunjifu wa amani ndani ya halmashauri hiyo. Na, hagai Ruyagila Katika kikao hicho…