Jamii FM
Nyumba
21 May 2021, 15:05 pm
Nyumba yateketea kwa moto
Na Karim Faida Wananchi wa mtaa wa Mmingano kata ya Tandika Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani hapa wameguswa na tukio la moto lililotokea Mapema Asubuhi ya leo ambapo nyumba ya Ndugu Sefu Bahili imeungua yote na hakuna kilichookolewa. Akiongea na…
16 March 2021, 08:02 am
Bibi Esha apata makazi Mapya
Jamii fm radio kwa kushirikiana na Wanasalam kanda ya kusini yaani Mikoa ya Mtwara na Lindi pamoja na wadau wengine wamefanikiwa kujenga nyumba katika eneo la Mtaa wa Namayanga Kata ya Mtawanya Manispaa ya Mtwara Mikindani kwa ajili ya Bibi…