Jamii FM

Maafa

14 January 2021, 04:46 am

Mvua zasababisha kifo

Kutokana na mvua kubwa zilizonyesha siku mbili mfululizo katika manispaa ya Mtwara mikindani,imesababisha kifo cha mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Ally Machulila (65) dereva pikipiki aliyesombwa na maji alikuwa anakatiza kwenye maji na kuzidiwa na kusababisha umauti, pia baadhi…

12 January 2021, 12:46 pm

Mvua yasababisha mafuriko Mtwara Mjini

Kufuatia mvua zilizoanza kunyesha alfajiri ya leo January 12, 2020 mkoani Mtwara, barabara katika maeneo mengi ya Manispaa ya Mtwara Mikindani zimefurika pia  nyumba kuingiwa na maji. Baadhi ya maeneo yaliyoatiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha ni pamoja na Kituo kikuu…