Uncategorized
April 21, 2021, 5:17 pm
Mwenyekiti wa kijiji halmashauri ya Ushetu asakwa na polisi kwa mauaji
Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linamsaka Mwenyekiti wa Kitongoji cha Ikindika Kata ya Ushetu Wilaya ya Kipolisi Ushetu, Andrew Adam kwa tuhuma za mauaji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, ACP Debora Magiligimba amesema tukio hilo lilitokea Aprili 18 saa…
April 21, 2021, 5:08 pm
Mchinjaji wa Nguruwe akamatwa na TAKUKURU Manispaa ya Kahama
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) wilayani Kahama imebaini uchinjaji wa mifugo kiholela ikiwemo iliyokufa hali ambayo inahatarisha afya za watumiaji wa nyama ambazo zinauzwa bila kufanyiwa uchunguzi na maafisa mifugo. Mkuu wa TAKUKURU, Abdallah Urari amesema walipokea…
April 21, 2021, 5:02 pm
TAKUKURU yasimamisha ujenzi jengo la X-RAY halmashauri ya Msalala
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) wilayani Kahama mkoani Shinyanga imezuia kuendelea ujenzi wa jengo la X-RAY kituo cha Afya Bugarama katika halmashauri ya Msalala kutokana na matofali yanayotumika kuwa chini ya kiwango. Mkuu wa TAKUKURU wilayani Kahama,…
April 20, 2021, 12:18 pm
Miundo mbinu ya barabara yawa changamoto kwa wananchi
Wananchi wa Mtaa wa Malunga Kata ya Malunga iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wanakabiliwa na changamoto ya miundombinu ya barabara katika maeneo yao. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na HUHESO FM wananchi wa Mtaa huo wamesema changamoto ya miundombinu ya…
April 19, 2021, 3:02 pm
Wasimamizi uchaguzi mdogo watakiwa kuzingatia matakwa ya tume ya uchaguzi na maa…
Washiriki wa semina ya mafunzo ya uchaguzi mdogo katika halmashauri saba nchini wametakiwa kujitambua, kujiamini, kufuata na kuzingatia katiba ya nchi na maadili ya tume ya uchaguzi na sheria zake. Hayo yamesemwa na kamishna wa tume ya taifa ya uchaguzi…
April 16, 2021, 3:26 pm
Wananchi wahofia Magonjwa ya mlipuko baada ya uchafu kukithiri mtaani.
Wananchi wa Mtaa wa Igembensabo Kata ya Malunga katika Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wameitaka kampuni ya uzoaji wa uchafu majumbani kufuata ratiba ya kuondoa uchafu huo ili kuepusha magonjwa ya milipuko kwa kipindi hiki cha Mvua. Wito huo umetolewa…
April 12, 2021, 6:38 pm
Utamaduni wa ukeketaji wahatarisha maisha ya watoto wa kike Tarime.
Kituoa Cha ATFGM Masanga kilichopo wilayani Tarime Mkoani Mara kinasomesha zaidi ya watoto 100 katika shule mbalimbali waliokimbia kufanyiwa ukeketaji. Meneja Miradi wa ATFGM Masanga, Valerian Mgani amesema miongoni mwa watoto wanaowasomesha familia zao zimekataa kuwapokea kwa kukimbia kufanyiwa ukeketaji…
April 12, 2021, 5:05 pm
Manispaa ya Kahama yaanza utoaji wa hati ya Ardhi
Kufuatia tamko la waziri wa Ardhi Nyumba na maendeleo ya makazi William Lukuvi kuwataka wananchi kupima viwanja na kila mwenye kiwanja kumiliki hati ya Ardhi wananchi katika Manispaa ya Kahama wametakiwa kujitokeza kuchukua hati zao kwa wale waliolipia. Kauli hiyo…
April 8, 2021, 3:21 pm
Manispaa ya Kahama yapanga bajeti ya mwaka wa fedha 2021/2022
Halmashauri ya Manisapaa ya Kahama mkoani Shinyanga inatarajiwa kutenga bajeti ya mwaka wa fedha 2021/2022 jumla shilingi milioni 900 hadi Billioni moja kwa ajili ya vikundi vya maendeleo kwa akina mama vijana na watu wenye ulemavu. Hayo yamesemwa na mkuu…
March 30, 2021, 12:04 pm
Askofu Gwajima asema Rais Samia Suluhu Hassan ni “Konki fire, yuko juu maw…
Mbunge wa Jimbo la Kawe Mhe. Askofu Josephat Gwajima ampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia kumpendekeza Waziri wa Fedha na MipangoDkt. Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Jina la Dkt.…