Huheso FM

Uncategorized

March 24, 2021, 9:46 am

MADINI YA NICKEL KUWEZESHA AJIRA 3000.

IMEFAHAMIKA kwamba uwekezaji wa madini ya Nickel wilayani Ngara sambamba na kujengwa kwa kinu cha kuchenjulia madini hayo ( Smalter )katika Mgodi wa Dhahabu wa Buzwagi,wilaya ya Kahama,mkoa wa Shinyanga,utawezesha kupatikana ajira za watu 3000. Hayo yalibainishwa juzi wilayani Kahama,na…