Uncategorized
September 22, 2021, 3:18 pm
Jeshi la Zimamoto latumia gari moja kuhudumia halmashauri tatu
Jeshi la Zimamoto na uokoaji wilayani Kahama mkoani Shinyanga limesema linakabiliwa na uhaba wa vifaa vya uokozi ikiwemo Magari. Hayo yamesemwa na mkuu wa jeshi hilo Hanafi Mkilindi wakati akizungumza na Huheso fm redio kuhusu mikakati ambayo wamekuwa wakiifanya katika…
September 20, 2021, 3:16 pm
Vikundi vyapewa elimu ya kupinga ukatili wa kijinsia.
Wajumbe wa mradi wa mwanamke amka unaolenga kupinga ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto waliopo mashuleni Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wametakiwa kuwa mabalozi wazuri katika kufikisha ujumbe wa kupinga ukatili wa kijinsia kwenye vikundi vyao. Hayo yamesemwa na…
July 26, 2021, 6:46 pm
Baiskeli 40 kusaidia kuzuia maambukizi mapya ya Ukimwi
Mabinti wenye umri kati ya miaka 15-24 wa halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga wamepatiwa Baiskeli zaidi ya 36 kwa ajili ya uelimishaji rika juu ya kuzuia maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi. Baiskeli hizo zimetolewa na shirika la Huheso Foundation…
July 19, 2021, 8:00 pm
Machinga walionyang’anywa Matunda yao warejeshewa na Mkuu wa Wilaya
Kufuatia kukamatwa kwa wafanyabiashara wa matunda wa soko la Mkulima na kuonesha Migambo wakigombana na wauza matunda hao mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga ametatua Mgogoro huo. Akiongea na wafanyabiashara wadogo katika stendi ya CDT mkuu wa Wilaya, Festo…
July 19, 2021, 7:42 pm
DC Kiswaga: Maonesho ya kibiashara Kahama kuwa ya mfano
Mkuu wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Festo kiswaga amewaomba wananchi wilayani humo kujitokeza katika maonesho ya Ujasiliamali na wafanybiashara wakubwa na wadogo katika viwanja vya halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani humo. Akizungumza na wandishi wa Habari ofisini kwake…
July 1, 2021, 9:54 am
Mwalimu wa tuisheni afungwa maisha jela Kahama
Mahakama ya wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga jana June 30, 2021 imemhukumu kifungo cha maisha jela, Baraka Andrea (25) mkazi wa Kata ya Mhongolo ambaye alikuwa mwalimu wa Tuisheni kwa kosa la kumlawiti mwanafunzi wake wa miaka nane. Akisoma hukumu…
May 27, 2021, 8:05 pm
Elimu ya hedhi salama kwa wasichana yazidi kutolewa wazazi waungana
Katika kuelekea siku ya hedhi salama duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka mwezi Mei 28 baadhi ya wazazi na walezi wilayani Kahama Mkoani Shinyanga wameeleza namna wanavyotoa elimu juu ya makuzi kwa watoto wao wa kike. Wakizungumza na Huheso fm mapema…
May 25, 2021, 7:25 pm
Watakaofichua taarifa za ukatili wa kijinsia kulindwa
Imeelezwa vitendo vya rushwa katika jamii imekuwa miongoni mwa sababu inayochangia vitendo vya ukatili wa kijinsia kuendelea kutokea katika jamii na kupelekea waathirika wa matukio hayo kukosa haki. Mratibu Taifa wa mtandao wa Utetezi wa haki za Binadam- THRDC Onesmo…
May 18, 2021, 6:28 pm
Wafanyabiashara wamlalamikia Mkurugenzi Manispaa ya Kahama
Wafanyabiashara wanaozunguka eneo la kituo cha mabasi katika Kata ya Majengo iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wamemlalamikia Mkurugenzi wa Manispaa hiyo kuyarudisha mabasi ya abiria katika kituo cha mabasi iliyokuwa ikikarabatiwa ya CDT. Wakizungumza na waandishi wa habari wafanyabiashara hao…
May 18, 2021, 5:54 pm
Wananchi wamlalamikia mwenyekiti wa mtaa wao
Wananchi wa Mtaa wa Bulima Kata ya Seeke Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamemlalamikia mwenyekiti wa mtaa huo kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake kwa wananchi hivyo wamemtaka kujiuzulu mara moja. Wakizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika mtaani hapo wananchi hao…