Dodoma FM

ziara

29 February 2024, 3:48 pm

Chipogolo walazimika kufuata baadhi ya huduma za Afya Mtera

Mh. Senyamule ametembelea kituo cha afya cha Rudi ambacho kinahudumia wananchi takribani 15,440 kutoka vijiji vitano, kituo kilipokea kiasi cha shilingi Milioni 701 kwa ajili ya ujenzi wa Maabara ambayo ipo katika hatua ya umaliziaji na Shilingi Milioni 300 kwa…