Dodoma FM
Dodoma FM
5 December 2024, 12:27 pm
Serikali imetakiwa kutatua migogoro mapema kabla ya watu kuanza kujichukulia sheria mkononi hali ambayo inaweza kusababisha uvunjifu wa amani. Na Kale Chongela: Wakulima wa Kata ya Bombambili halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka…
3 December 2024, 11:11 am
Wazazi wameombwa kutoa taarifa kwa haraka katika vyombo vya sheria endapo atagundua mtoto amefanyiwa ukatili. Na Anwary Shaban . Imeelezwa kuwa kutokuwa na uhusiano mzuri kati ya wazazi na watoto ni chanzo cha Watoto kushindwa kuwa karibu na wazazi wao.…
6 November 2024, 4:43 pm
Na Anuary Shabani, Kukasimu jukumu la malezi ua mtoto kwa dada wa kazi imeelezwa kuwa na athari ya mmomonyoko wa maadili katika malezi na makuzi ya mtoto. Wazazi jijini Dodoma wametoa maoni tofauti kuhusian na athari zinazojitokeza kwa mtoto endapo…
5 October 2024, 09:55
Wakati jamii ikihitaji kupata huduma za ukaribu kwenye maeneneo yao,mahakama kuu ya Tanzania imeanza kutoa huduma hiyo kwa kutoa huduma kupitia gari ambayo itazungunguka kwenye maeneo yao. Na Deus Mellah Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Mbeya imezindua mahakama inayotembea…
3 October 2024, 8:10 pm
Na Lilian Leopold Tatizo la mimba za utotoni limekuwa ni suala endelevu katika jamii nyingi nchini Tanzania. Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi Dodoma kutoka Dawati la Kijinsia Bwn. Michael Nkinda amebainisha sababu mbalilmbali zinazopelekea kuwepo kwa tatizo hilo miongoni mwa…
18 July 2024, 2:37 pm
Picha ni Dkt. Christian Bwasi Afisa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya. Picha na Mindi Joseph. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya haitafumbia macho wauzaji wazalisha na wafadhili wa dawa za kulevya kwani wanaua…
8 July 2024, 5:32 pm
Kwa mujibu wa sheria ya Ajira na Mahusiano ya Kazi ya mwaka 2004 inasema ni kosa kuajiri watoto kinyume na sheria ya kazi inavyosema na adhabu inatolewa chini ya kifungu cha 102 (2) ambacho kinampaHakimu wa Wilaya na Mkazi kutoa…
8 July 2024, 4:23 pm
Sera ya elimu jumuishi imekuwa mkombozi kwa watoto wote kufurahia elimu pamoja. Na Mariam Kasawa.Wazazi wametakiwa kutambua kuwa haki ya kupata elimu ni yakila mtoto hivyo wanapaswa kuwaacha watoto wasome na kuwapatia mahitaji yote muhimu. Sera ya elimu jumuishi imekuwa…
12 April 2022, 4:26 pm
Na; Shani Nicolous. Wakati siku ya mtoto anayeishi na kufanya kazi mtaani ikiadhimishwa kimataifa serikali imeombwa kuongeza nguvu na itilie mkazo jambo la kudhibiti ongezeko la watoto wa mtaani. Akizungumza na kituo hiki Elizabeth Msuya kutoka Taasisi isiyo ya kiserikali…
6 April 2022, 3:22 pm
Na;Yussuph Hassan. Wazazi na walezi Mkoani Dodoma wameshauriwa kuhakikisha wanawapeleka Watoto wao katika vituo vya afya kufanya uchunguzi wa Magonjwa mbalimbali ambayo mara nyingi huwa kama yamesahauliwa katika jamii. Akizungumza na kituo hiki Dkt Matthew Gaudance kutoka kituo cha Afya…