vitambulisho
9 February 2024, 6:01 pm
Vitambulisho vya kidijitali ni muhimu kwa wafanyabiashara wadogowadogo
Maafisa tehama, biashara na maendeleo ya jamii kutoka mikoa yote nchini wamekutana jijini Dodoma katika mafunzo ya ya mfumo wa usajili wa machinga . Na Mariam Matundu.Imeelezwa kuwa vitambulisho vya kidigitali kwa wafanyabiashara wadogowadogo vitawezesha kuwaunganisha wafanyabiashara hao na mifumo…
10 August 2023, 2:28 pm
Baba, mama lishe watakiwa kuzingatia usafi
Watoaji wa huduma ya vyakula katika maeneo mbalimbali ikiwamo migahawa na hotel wanashauriwa kuwa katika hali ya usafi ikiwemo uvaaji wa mavazi nadhifu ili kulinda afya ya walaji. Na Mariam Msagati. Usafi binafsi kwa wafanyabishara wanaojihusisha na biashara ya kuuza…
5 June 2023, 7:11 pm
Dkt. Mpango ahimiza wananchi kuendelea kupiga vita matumizi mifuko ya plastiki
Juni 5 ya kila mwaka ni siku ya mazingira duniani, sikuu hii inaadhimishwa kuhusu umuhimu wa mazingira kwa maisha ya binadamu. Na Fred Cheti Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amewataka Watanzania…
26 November 2021, 1:38 pm
Serikali imewataka wananchi walio omba vitambulisho vya Taifa kwenda ofisi za us…
Na; Fred Cheti . Serikali imewataka wananchi wote walioomba vitambulisho vya Taifa kwenda katika ofisi za Usajili za wilaya ,kata pamoja na vijini walipofanya usajili kwa ajili ya kwenda kuchukua vitambulisho hivyo badala ya kulalamika kuwa vitambulisho hivyo havitoki. Wito…