Dodoma FM

utumwa

7 November 2023, 12:34 pm

Mimba za utotoni zapungua nchini kwa 5%

Dodoma ni miongoni mwa mikoa iliyofanikiwa kupunguza mimba za utotoni kwa kiwango kikubwa . Na Mariam Matundu. Ripoti ya utafiti wa afya ya uzazi na mtoto na viashiria vya malaria ya mwaka 2022 imeonesha Tanzania imefanikiwa kupunguza mimba za utotoni…

23 January 2023, 12:31 pm

Mila na desturi zatajwa kuwa chanzo cha Mimba za utotoni

Na; Alfred Bulahya. Licha ya Halmashauri ya Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma imefanikiwa kupunguza idadi ya mimba kutoka 39 mwaka 2020 hadi 17 kwa mwaka 2022. kwa Mujibu wa Afisa elimu sekondari wilaya ya Bahi bi Marry Chakupewa, inaelezwa katika…