Dodoma FM
ujenzi wa bwawa
7 February 2023, 9:26 am
Mamlaka ya serikali mtandao eGA inatarajia kufanya kikao kazi
Mamlaka ya serikali mtandao eGA inatarajia kufanya kikao kazi cha 3 cha serikali mtandao kwa lengo la kuwakutanisha wadau mbalimbali wa serikali mtandao ili kujadiliana juu ya mafanikio, changamoto. Na Alfred Bulahya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Mkurugenzi…
21 March 2022, 1:54 pm
Serikali kuanza utelekelezaji wa mradi wa maji bwawa la Farkwa
Na; Mariam Matundu. Katika kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa maji mkoani Dodoma serikali imesema iko mbioni kuanza utekelezaji wa mradi wa maji wa bwawa la Farkwa . Akizungumza na taswira ya habari mkurugenzi wa bonde la wamiruvu kutoka wizara…