Dodoma FM
Dodoma FM
20 May 2025, 3:53 pm
Wananchi wanadai kuwa changamoto hii imeshindwa kupatiwa ufumbuzi. Na Victor Chigwada. Wananchi wa vitongoji vya malechela ,Lusinde na sokoine Kijiji Cha Mnase wameendelea kulia na changamoto ya kukosekana kivuko baina ya wananchi na reli ya mwendokasi(SGR) Wakieleza namna changamoto hiyo…
5 March 2025, 12:13 pm
Wakazi wa maeneo hayo wamesema wamekuwa wakilalamika tangu mwaka 2019. Na Anwary Shaban.Wanachi Dodoma walia uwepo wa SGR unavyoharibu makazi yao. Wananchi wa kitongoji cha Msangalale kata ya Makulu jijini Dodoma wamelalamikia uharibifu wanaoupata kutokana na mafuriko ya maji yanayotoka…
30 July 2024, 7:46 pm
Ikumbukwe kuwa tangu Treni ianze safari zake Kutoka Dar es Salaam kuja Dodoma zaidi ya wananchi 900 hadi 1000 wananufaika na usafiri huo. Na Fred Cheti. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani anatarajia kuzindua Rasmi…
15 November 2023, 5:07 pm
Mkutano huo utasaidia kuboresha upatikana wa huduma ya maji wilayani humo. Na Nizar Mafita. Wakala Wa Maji Safi Na Usafi Wa Mazingigra Vijijini Wilaya Ya Kondoa Kwa Kushirikiana Na Ruwasa Mkoa Wa Doddoma Pamaoja Na Vyombo Vya Watoa Huduma Ya…
13 July 2023, 4:10 pm
Wanafunzi wametakiwa kusoma kwa bidii ili kukutana na fursa nyingine za kielimu. Na Fred Cheti Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amekoshwa na ufaulu wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Amani Abeid Karume iliyopo katika kata ya Pahi…
12 July 2023, 3:05 pm
Halmashauri hiyo imetakiwa kuhakikisha inalipa madeni yote ya watumishi wa umma kabla ya kupokea bajeti ya mwaka wa fedha wa 2023/24. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule ameiagiza halmashauri ya Kondoa kuhakikisha inalipa Madeni yote…
27 March 2023, 2:20 pm
Mhe. Rosemary Senyamule amewataka wananchi wa Wilaya ya Kondoa kujikita katika kilimo Cha Umwagiliaji Ili kuondoa Janga la njaa, kujiongezea kipato na kukabiliana na mabadiliko ya tabi ya nchi. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule…
17 March 2023, 4:04 pm
Baadhi ya wazazi wanadai elimu zote mbili zina umuhimu huku wengine wakibainisha kuwa walimu pia wanachangia kuongeza kwa utoro shuleni. Na Nizar Khalfan. Zoezi la ukamataji la wazazi wa wanafunzi watoro limeanza wilayani kondoa ambapo zaidi ya wazazi kumi na…