Dodoma FM
ratiba
22 March 2021, 7:55 am
Ratiba ya kuaga Mwili wa Rais Magufuli Dodoma yabadilishwa
Na; Mariam Kasawa. Baada ya uongozi wa mkoa wa Dodoma kutambua hamu ya wakazi wa jiji hili ya kutamani kumuaga Hayati Dkt John Pombe Magufuli wameamua kuzunguka maeneo mbalimbali ili kila mwananchi aweze kushiriki zoezi hili. Akizungumza na waandishi wa…
20 March 2021, 8:48 am
Ratiba ya kumuaga Hayati, Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Na, Mariam Kasawa. Ratiba ya kumuaga hayati Mh, Dkt John Pombe Magufuli yabadilika , Zanzibar nayo itapata nafasi ya kumuaga Kwa mujibu wa mabadiliko ya ratiba Hayati Dkt John Magufuli atazikwa tarehe 26 na si 25 iliyo kuwa imetangazwa hapo…