Dodoma FM
Dodoma FM
9 October 2024, 6:22 pm
Na Mariam Kasawa. Balaza la Uhifadhi na Usimaizi wa Mazngira NEMC limetoa mwezi mmoja kwa viwanda kufanya tathmini za athari kwa mazingira ili kuepuka uchafuzi wa mazingira unaosababisha na shughuli za viwanda. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu NEMC Dkt. Immaculate…
5 August 2024, 6:21 pm
Wananchi wanaendelea kuhimizwa kutunzwa Mazingira ili yawatunze kwa kuepuka kufanya shughuli zinazoathiri Mazingira ikiwemo Kilimo na Ufugaji wa kuhama hama. Na Mariam Kasawa.Miradi mikubwa ya Kilimo endelevu inayoanzishwa imetakiwa kuhusishwa na tathmini za utunzaji wa Mazingira. Kilimo kinatajwa kusaidia upatikanaji…
23 December 2023, 5:28 pm
Thadei Tesha amezungumza na wakazi wa eneo hilo pamoja na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira DUWASA. Na Thadei Tesha. Mamlaka ya maji safi na usafi wa mzingira Jiji la dodoma DUWASA imetolea ufafanuzi baadhi ya changamoto za…
30 August 2023, 5:25 pm
DUWASA inasema tayari bajeti imekwisha tengwa kwaajili ya kuanza ikaranbati huo. Na Yussuph Hassan. Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dodoma DUWASA, imeweka wazi mikakati yao katika kuhakikisha inaboresha mtandao wa maji taka ambapo tayari fedha imeshategwa kwa ajili…
20 March 2023, 3:25 pm
Jiji la Dodoma linakisiwa kuzalisha tani 350 za taka ngumu kwa siku ambapo kata za nje ya mji uzalishaji tani 114 na Kata za mjini uzalisha ni tani 236. Na Mindi Joseph. Utupaji wa taka Ngumu Ovyo umetajwa kuwa na…