Dodoma FM

NEMC

5 August 2024, 6:21 pm

Miradi yatakiwa kuhusishwa na tathmini za mazingira

Wananchi wanaendelea kuhimizwa kutunzwa Mazingira ili yawatunze kwa kuepuka kufanya shughuli zinazoathiri Mazingira ikiwemo Kilimo na Ufugaji wa kuhama hama. Na Mariam Kasawa.Miradi mikubwa ya Kilimo endelevu inayoanzishwa imetakiwa kuhusishwa na tathmini za utunzaji wa Mazingira. Kilimo kinatajwa kusaidia upatikanaji…

30 August 2023, 5:25 pm

DUWASA yaeleza mikakati yake ya kuboresha mfumo wa maji taka

DUWASA inasema tayari bajeti imekwisha tengwa kwaajili ya kuanza ikaranbati huo. Na Yussuph Hassan. Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dodoma DUWASA, imeweka wazi mikakati yao katika kuhakikisha inaboresha mtandao wa maji taka ambapo tayari fedha imeshategwa kwa ajili…

20 March 2023, 3:25 pm

Taka ngumu zatajwa kuharibu mifumo ya maji taka

Jiji la Dodoma linakisiwa kuzalisha tani 350 za taka ngumu kwa siku ambapo kata za nje ya mji uzalishaji tani 114 na Kata za mjini uzalisha ni tani 236. Na Mindi Joseph. Utupaji wa taka Ngumu Ovyo umetajwa kuwa na…