Dodoma FM

Ndachi

26 March 2024, 7:42 pm

Wanchi Ndachi wakumbwa na sintofahamu Mgogoro wa Ardhi

Mtaa wa Ndachi umekuwa ukiandamwa na migogoro ya ardhi kwa muda mrefu sasa ambapo kwa mujibu wa mwenyekiti wa Mtaa huo migogoro hiyo bado ina sintofahamu. Na Mindi Joseph.Wananchi wa Mtaa wa Ndachi kata ya Mnadani wamesema hawajui hatima yao…