MSAADA
8 April 2024, 5:48 pm
Wafungwa, mahabusu watakiwa kuutumia mwezi mtukufu kufanya toba ya kweli
Shughuli hiyo iliratibiwa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA wilaya ya Dodoma kwa kushirikiana na misikiti ya wilaya ya Dodoma. Na Seleman Kodima.Sheikh wa Mkoa wa Dodoma Alhaj Mustafa Rajab Shaban amewataka wafungwa na mahabusu waliopo magerezani kutumia vyema…
25 August 2021, 12:53 pm
Foundation for disabilities hope (FDH)yaahidi kumsaidia Rhoda binti mwenye ulema…
Na; Mariam Matundu. Foundation for disabilities hope imemtembelea binti Rhoda Batholomeo Nambali mwenye ulemavu wa akili pamoja na ulemavu wa viungo na kuahidi kumsaidia bima ya afya pamoja na kumtafutia wadau wengine watakao msaidia . Afisa utawala wa taasisi hiyo…
16 August 2021, 1:33 pm
Jamii yaombwa kumsaidia mtoto Feisal
Na; Mariam Matundu. Jamii imeombwa kumsaidia mtoto faisal ambae amezaliwa na uleamvu kupata bima ya afya na mahitaji mengine muhimu kwa kuwa anaishi katika mazingira magumu. Mtoto faisal anaishi na mama yake huku baba mzazi wa mtoto huyo hajulikani alipo,mwandishi…
12 July 2021, 12:12 pm
Familia yaomba msaada ili iweze kumpeleka binti yao kwenye matibabu
Na; Mariam Matundu. Wakazi wa Mkoa wa Dodoma wameombwa kumsaidia Rhoda Nhambali binti mwenye ulemavu wa afya ya akili ili aweze kupata matibabu. Bathromeo Nhambali ambae ni baba mzazi wa binti huyo amesema ulemavu huo ulisababisha kumkatisha masomo binti yake…