Dodoma FM
Dodoma FM
10 September 2024, 7:21 pm
Na Yusuph Hassan. Bahi ni moja ya wilaya inayopatikana ndani ya mkoa wa Dodoma umbali wa kilomita 51 toka Dodoma Mjini. Wilaya hii ilijihusisha na kilimo cha mazao mchanganyiko kabla ya kuanza ulimaji wa zao la mpunga mwaka 1983 kama…
22 September 2023, 5:17 pm
Wafanyabiashara kupitia TCCIA wameiomba serikali kuweka mazingira rafiki na wezeshi ya kufanya biashara hasa kwa wafanyabiashara waliopanga kwenye majengo ya Umma kama vile stendi na sokoni. Na Adelinus Banenwa. Wafanyabiashara kupitia TCCIA wameiomba serikali kuweka mazingira rafiki na wezeshi ya…
27 March 2023, 5:46 pm
Halmashauri ya Jiji la Dodoma lazima iwe mfano kwa kushika nafasi ya juu katika elimu na si elimu tu hata kwenye mambo mengine. Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma imepanga kushirikiana na wadau mbalimbali wa elimu jijini hapa…