Dodoma FM

mikopo

18 December 2025, 3:53 pm

Wanawake watakiwa kueleza changamoto michakato ya kupata mkopo

Wanawake wa Jukwaa walioshiriki katika kikao hicho wamemshukuru Waziri Dkt. Gwajima kwa kuwapa nafasi ya kusikilizwa. Na Mariam Matundu. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka wanawake katika vikundi mbalimbali kueleza changamoto…

2 October 2025, 3:42 pm

Mikopo ya 10% yawakwamua vijana kiuchumi

Mikopo hiyo inawapa faida zaidi ikilinganishwa na mikopo mingine ya mtaani ambayo mara nyingi ina riba kubwa. Na VictorChigwada. Vijana wa Kata ya Msamalo, Wilaya ya Chamwino, wameipongeza serikali kwa kujali kundi la vijana, wanawake, na watu wenye ulemavu kwa…

18 July 2025, 7:36 pm

Watakaotoa siri kukiona cha moto Geita na Kagera

Maandalizi ya uchaguzi mkuu yameendelea kwa wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya mikoa kuendelea kupatiwa mafunzo. Na Mrisho Sadick: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka waratibu, wasimamizi na maafisa wa uchaguzi nchini kuhakikisha wanazingatia kiapo walichoapa kwa kujiepusha na vitendo…

10 June 2025, 2:56 pm

Vijana Mlebe watakiwa kuchangamkia fursa mikopo ya 10%

Kwa mujibu wa mwenyekiti wa kijiji cha Mlebe hakuna vikundi vya vijana katika kijiji chake zaidi ya kikundi kimoja cha akina mama ambacho ndicho kipo hai mpaka sasa. Na Victor Chigwada. Vijana wa Kijiji cha Mlebe wametakiwa kuchangamkia fursa za…

22 November 2024, 12:08 pm

Watu wenye ualbino waomba kipaumbele mikopo ya 2%

Mikopo hiyo itawasaidia kazi katika mazingira rafiki na kujikinga  na ugonjwa wa saratani ya ngozi .Picha na Steven Noel. Na Steven Noel. Watu wenye ualbino wilayani Mpwapwa wameiomba halmashauri ya wilaya hiyo kuwapa kipaumbele Katika mikopo ya asilimia 2  ili…

21 April 2022, 10:22 am

Wanawake Ilazo waiomba serikali kuwapatia elimu ya mikopo

Na; Shani Nicolous. Wanawake wa mtaa wa Ilazo jijini hapa wameiomba serikali na taasisi za mikopo kutoa elimu juu ya matumizi sahii ya mikopo hiyo. Wakizungumza na Taswira ya habari wanawake hao wamesema kuwa mikopo huenda inatolewa lakini mwitikio ni…

2 July 2021, 11:19 am

‌Uhamasishaji mdogo wapelekea watu wenye ulemavu kuto nufaika na mikopo ya ha…

Na; Mariam ‌ ‌Matundu. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa taarifa na uhamasishaji kwa watu wenye ulemavu kujiunga katika vikundi ni moja ya sababu inayo pelekea kundi hilo kutopata mikopo kwa wingi inayotolewa na halmashauri.‌ ‌Hayo‌ ‌yamesemwa‌ ‌namwenyekiti‌ ‌wa‌ ‌chama‌ ‌cha‌ ‌watu‌ ‌wenye‌ ‌ulemavu‌ ‌wilaya‌ ‌ya‌ ‌Kondoa‌ ‌bwana‌ ‌Abedi‌ Dutu‌ ‌ambapo‌ ‌amesema‌ ‌uhamasishaji‌ ‌kwa‌ ‌watu‌ ‌wenye‌ ‌ulemavu ‌wanaoishi‌ ‌maeneo‌ ‌ya‌ ‌vijijini‌ ‌kuomba‌ ‌mikopo‌ ‌upo‌ ‌chini‌ ‌hivyo‌ ‌wengi‌ ‌wao‌ ‌hukosa‌ ‌fursa‌…