Dodoma FM

mbegu bora

21 June 2022, 2:28 pm

Matumizi ya Teknolojia yatajwa kuwa changamoto kwa watu wenye ulemavu

Na;Mindi Joseph. Watu wenye ulemuvu wametajwa kukabiliwa na changamoto katika matumizi ya Teknolojia ya Mitandao Licha ya kuendelea kufanya jitihada za kuhakikisha wanawasaidia. Akizungumza na Taswira ya Habari Mkurungezi wa Taasisi ya zaina Foundation Zaituni Njovu amesema wanaendelea kuhakikisha kundi…