Dodoma FM

Maziwa

12 November 2025, 1:32 pm

Fahamu maziwa yanavyo punguza ufanisi wa dawa mwilini

Hata hivyo, Meena amewataka wananchi kuzingatia ushauri na maelekezo ya madaktari kabla ya kutumia dawa, ili kuepuka madhara yanayoweza kuepukika. Na Lilian Leopold.Wataalamu wa afya wameonya kuhusu matumizi ya dawa sambamba na maziwa au bidhaa zinazotokana na maziwa, wakisema hali…