Dodoma FM

matundu ya vyoo

31 August 2021, 11:56 am

Mnada wa Dabalo wakabiliwa na ukosefu wa matundu ya vyoo

Na; Beanrd Filbert. Ukosefu wa matundu ya vyoo katika mnada wa Dabalo kata ya Dabalo wilayani Chamwino imetajwa kuwa changamoto kwa wafanyabiashara hali inayoweza kuhatarisha afya zao. Hayo yameelezwa na Diwani wa kata ya Dabalo Bwana Isihaka Rajab wakati akizungumza…