Dodoma FM
matundu ya vyoo
1 June 2022, 3:04 pm
Waziri mkuu aagiza mji wa kiserikali ujengwe kwa kuzingatia upandaji miti
Na;Mindi Joseph. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameigiza Wizara ya ofisi ya waziri mkuu ,na katibu wa ofisi ya waziri mkuu ,bunge na uratibu kwa kushirikiana na timu ya wataalamu wanaosimamia ujenzi wa mji wa kiserikali kuhakikisha wanaujenga mji huo…
31 August 2021, 11:56 am
Mnada wa Dabalo wakabiliwa na ukosefu wa matundu ya vyoo
Na; Beanrd Filbert. Ukosefu wa matundu ya vyoo katika mnada wa Dabalo kata ya Dabalo wilayani Chamwino imetajwa kuwa changamoto kwa wafanyabiashara hali inayoweza kuhatarisha afya zao. Hayo yameelezwa na Diwani wa kata ya Dabalo Bwana Isihaka Rajab wakati akizungumza…