malaria
31 January 2024, 10:08 pm
Watoto wadaiwa kutumika biashara ya dawa za kulevya
Watoto wamekuwa wakitumiwa kusafirisha dawa hizo na kuwasababishia athari mbalimbali. Na Thadei Tesha.Kundi la watoto limetajwa kutumika kwa sehemu kubwa katika biashara haramu ya usafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Hayo yamesemwa na kamishna Jenerali wa Mamlaka ya kudhibiti na…
28 June 2023, 2:30 pm
Jamii inaamini nini kuhusu waraibu wa dawa za kulevya?
Maadhimisho ya kupinga matumizi ya dawa za kulevya yalifanyika kitaifa mkoani Arusha Juni 25 mwaka huu. Na Respishas Lopa. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameonesha utayari wao wa kuwapokea waraibu wa dawa za kulevya na kushirikiana nao katika…
11 January 2023, 2:35 pm
Matumizi ya dawa za kulevya bado ni tatizo kwa baadhi ya maeneo Nchini
Na; Mariam Matundu. Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya kwa mwaka 2021 iliyotolewa Juni 2022 na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imesema ingawa hakuna takwimu halisi ya watumiaji wa dawa za kulevya nchini waraibu…
4 November 2021, 12:19 pm
Jamii imetakiwa kuzingatia njia za kujikinga na ugonjwa wa malaria msimu wa masi…
Na;Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kuzingatia njia za kujikinga na ugonjwa wa malaria katika kipindi hiki cha masika. Akizungumza na Taswira ya habari Dr. Chesco Muhema kutoka hospitali ya mkoa wa Dodoma amesema kuwa wakati mvua ni hatari kwa…