Dodoma FM

malaria

31 January 2024, 10:08 pm

Watoto wadaiwa kutumika biashara ya dawa za kulevya

Watoto wamekuwa wakitumiwa kusafirisha dawa hizo na kuwasababishia athari mbalimbali. Na Thadei Tesha.Kundi la watoto limetajwa kutumika kwa sehemu kubwa katika biashara haramu ya usafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Hayo yamesemwa na kamishna Jenerali wa Mamlaka ya kudhibiti na…

28 June 2023, 2:30 pm

Jamii inaamini nini kuhusu waraibu wa dawa za kulevya?

Maadhimisho ya kupinga matumizi ya dawa za kulevya yalifanyika kitaifa mkoani Arusha Juni 25 mwaka huu. Na Respishas Lopa. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameonesha utayari wao wa kuwapokea waraibu wa dawa za kulevya na kushirikiana nao katika…