machinga
20 February 2023, 2:08 pm
LATRA yafafanua usafirishaji wa mizigo ya Abiria
Mamlaka ya Udhibiti na Usafiri Ardhini (LATRA) imesema kwa mujibu wa kanuni ya 37 ni wajibu wa msafirishaji wa gari la abiria kumsafirishia abiria mzigo wake bure kama hauzidi kilo 20. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Udhibiti na Usafiri Ardhini…
2 February 2023, 1:19 pm
TAKUKURU Yaendelea kupiga vita rushwa ya ngono
Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru imesema inaendelea kupiga vita rushwa ya ngono kwani inadhalilisha utu wa Mtu. Na Mindi Joseph Changamoto ya rushwa ya ngono imekuwa ikiongezeka siku hadi siku kutokana na ukimya dhidi ya vitendo hivyo…
25 January 2022, 4:27 pm
Serikali imesema inatambua mchango unaofanywa na vijana wajasiriamali
Na; FRED CHETI. Serikali imesema kuwa inatambua mchango unaofanywa na kundi la vijana wajasiriamali wadogo maarufu kama Machinga katika kukuza uchumi wa nchi huku ikiahidi kutoa ushirikiano wa dhati kwa kundi hilo. Kaulu hiyo imetolewa leo na Rais wa Jamhuri…