Dodoma FM

kituo

13 November 2023, 4:07 pm

Wanafunzi watakiwa kutofumbia macho vitendo vya rushwa

Na Seleman Kodima. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaji Jabiri Shekimweri  amewataka wanafunzi wa Shule za Sekondari Dodoma kupinga, kuchukia na kutofumbia matendo ya rushwa. Rai hiyo ameitoa wakati akizungumza na shule 12 ambazo ziliingia fainali katika  shindano la Mdahalo…

1 November 2023, 11:21 am

Jamii yatakiwa kushiriki kutokomeza rushwa ya ngono

Rushwa ya ngono inaweza kusababisha athari kubwa kwa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla. Na Aisha Alim. Jamii imetakiwa kushirikaiana katika kuhakikisha vitendo vya rushwa ya ngono makazini vinatokomezwa kwani ni miongoni mwa vitendo vya ukatili vinavyomnyima mtu haki…