kituo
13 November 2023, 4:07 pm
Wanafunzi watakiwa kutofumbia macho vitendo vya rushwa
Na Seleman Kodima. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaji Jabiri Shekimweri amewataka wanafunzi wa Shule za Sekondari Dodoma kupinga, kuchukia na kutofumbia matendo ya rushwa. Rai hiyo ameitoa wakati akizungumza na shule 12 ambazo ziliingia fainali katika shindano la Mdahalo…
1 November 2023, 11:21 am
Jamii yatakiwa kushiriki kutokomeza rushwa ya ngono
Rushwa ya ngono inaweza kusababisha athari kubwa kwa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla. Na Aisha Alim. Jamii imetakiwa kushirikaiana katika kuhakikisha vitendo vya rushwa ya ngono makazini vinatokomezwa kwani ni miongoni mwa vitendo vya ukatili vinavyomnyima mtu haki…
10 June 2022, 3:40 pm
Taasisi yajiwekea lengo la kutokomeza vitendo vya rushwa kwa asilimia 80
Na; Benard Filbert. Taasisi ya SAUTI YA WAPINGA RUSHWA inayojihusisha na kutoa elimu dhidi ya vitendo vya rushwa nchini imeweka lengo la kutokomeza vitendo hivyo hadi kufika asilimia 80 itakapofika mwaka 2024. Hayo yameelezwa na Bwana Haruna Kitenge mwenyekiti wa…
3 September 2021, 12:50 pm
Wakazi wa mkoa wa Dar es salaam waliopo katika migogoro ya ndoa, mirathi na tala…
Na;Mariam Matundu. Inaelezwa kuwa Mkoa wa Dar es Salaam ni miongoni mwa Mikoa iliyogubikwa na mkinzano wa masuala ya kijamii ambapo tangu mwaka 2017 mashauri 7000 ya mirathi na mashauri 2000 ya migogoro ya ndoa yamefunguliwa. Wananchi wa Mkoa wa…