Dodoma FM

Kilimo cha mtama

5 May 2023, 3:45 pm

Kondoa watakiwa kukamilisha miradi ya maendeleo kwa wakati

Na Mindi Joseph. Katibu Tawala Mkoa wa dodoma Bw. Ally Senga ameangiza ujenzi wa Miradi ya maendeleo ya kimkakati inayotekelezwa katika Halmashauri ya Kondoa Mji kukamlika ifikapo June 15 mwaka huu. Ameyabainisha hayo baada ya kutemebelea Miradi hiyo ikiwemo shule,…