Kelele
15 March 2024, 7:40 pm
Bodaboda wasabisha kelele walalamikiwa Nzuguni B
Pikipiki zimekuwa zikichangia uchafuzi wa mazingira kutokana na kelele. Na Mindi Joseph.Wananchi wa Mtaa wa Nzunguni B kata ya Nzunguni Jijini Dodoma wamelalamikia waendesha pikipiki wenye tabia ya kutoboa exsoze za pikipiki na kusababisha vyombo hivyo kutoa sauti zinazo leta…
4 May 2023, 2:05 pm
Watumishi wa ofisi ya Takwimu watakiwa kufanya kazi kwa uadilifu
Aidha wamejadili namna ya kuendelea kuboresha takwimu, changamoto, Mafanikio na kutafuta ufumbuzi. Na Alfred Bulahya. Wafanyakazi wa ofisi ya Taifa Takwimu (NBS) wameaswa kuendelea kuwa waadilifu katika uzalishaji wa takwimu ili kuliletea maendeleo Taifa. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri…
17 February 2023, 11:49 am
Wakurugenzi watakiwa kutumia data za sensa kupanga sera na mipango
Wakurugenzi wa sera na mipango wametakiwa kuhakikisha wanatumia data za sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 kupanga mipango jumuishi. Ofisi ya taifa ya Takwimu imewataka wakurugenzi wa sera na mipango kuhakikisha wanatumia data za sensa ya watu na…